BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Sunday, April 17, 2011

MANCHESTER YAKABWA KOO


Manchester united jana imefungwa bao 1-0 na mahasimu wao Manchester City,katika michuano ya FA CUP,michuano hiyo imekuwa na msisimko mkubwa kwa timu ndogo kuzitoa jasho timu kubwa.

No comments:

Post a Comment