BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, April 14, 2011

SHITAMBALA AISALITI CHADEMA

Aliyekuwa mwenyekiti wa chama cha maendeleo mkoa wa Mbeya ameamua kuhama chama chake na kujiunga na chama cha mapinduzi (CCM,uamuzi wake umepokelewa kwa hisia tofauti na wananchi mkoani Mbeya

No comments:

Post a Comment