BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Saturday, April 09, 2011

STENDI KUU MBEYA


Ukarabati unaoendelea ndani ya kituo cha mabasi Mbeya umesababisha lango la kutokea kufungwa kwa muda na kusababisha gari zote kuingia na kutokea mlango mmoja,imekuwa ni taabu hasa asubuhi zinapoondoka gari za mikoani.

No comments:

Post a Comment