BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Saturday, April 16, 2011

AJALI MBAYA YATOKEA ARUSHA

Poleni ndugu zetu wa Arusha kwa msiba uliowapata  kutokana na ajali ya iliyohusisha basi la kampuni ya ngorika na basi dogo aina ya hiace na kusababisha vifo vya watu na wengine kujeruhiwa.

No comments:

Post a Comment