BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Saturday, April 09, 2011

MVUA NDANI YA MBEYA


Baadhi ya mitaa jijini Mbeya imekuwa ni kero kutokana na mvua inayoendelea kunyesha na kusababisha barabara kujaa maji kutokana na mashimo kama inavyoonekana moja ya barabara eneo la Soweto.

No comments:

Post a Comment