BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Tuesday, October 18, 2011

HUU NDIO USAFIRI WA MLOWO-KAMSAMBA WILAYANI MBOZI.


Pamoja na ajali nyingi kugharimu maisha ya watu,lakini bado watu wamekuwa wakijisahau na kuvunja sheria za usalama barabarani kama inavyoonekana hapa gari ya mizigo ikiwa imebeba abiria wengi kupita kiasi na wengine kukaa juu ya mabomba.

No comments:

Post a Comment