KWA HABARI ZA KIMATAIFA,KITAIFA,MICHEZO NA BURUDANI TEMBELEA MTANDAO HUU KILA SIKU
BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM
Tuesday, October 18, 2011
HUU NDIO USAFIRI WA MLOWO-KAMSAMBA WILAYANI MBOZI.
Pamoja na ajali nyingi kugharimu maisha ya watu,lakini bado watu wamekuwa wakijisahau na kuvunja sheria za usalama barabarani kama inavyoonekana hapa gari ya mizigo ikiwa imebeba abiria wengi kupita kiasi na wengine kukaa juu ya mabomba.
No comments:
Post a Comment