KWA HABARI ZA KIMATAIFA,KITAIFA,MICHEZO NA BURUDANI TEMBELEA MTANDAO HUU KILA SIKU
BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM
Monday, October 24, 2011
MANCHESTER CITY YAWAFANYIA VIBAYA MANCHESTER UNITED NDANI YA OLD TRAFFORD
Timu ya Manchester City leo imevunja mwiko wa Manchester United baada ya kuwaadhibu kwa goli 6-1 kwenye uwanja Old Trafford. Manchester Utd imekuwa na rekodi ya kutofungwa kwenye uwanja wa nyumbani lakini leo imeweza kutokea tena idadi kubwa ya magoli.
No comments:
Post a Comment