BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Monday, October 24, 2011

MANCHESTER CITY YAWAFANYIA VIBAYA MANCHESTER UNITED NDANI YA OLD TRAFFORD


Timu ya Manchester City leo imevunja mwiko wa Manchester United baada ya kuwaadhibu kwa goli 6-1 kwenye uwanja Old Trafford.
Manchester Utd imekuwa na rekodi ya kutofungwa kwenye uwanja wa nyumbani lakini leo imeweza kutokea tena idadi kubwa ya magoli.

No comments:

Post a Comment