BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Saturday, October 15, 2011

LIGI DARAJA LA KWANZA,PRISON YAANZA VIBAYA MBEYA


Timu ya Tanzania Prison leo imeanza vibaya baada ya kufungwa bao 1-0 na timu ya Mbeya City Council,bao la Mbeya City limefungwa na Yona Ndabila kwa njia ya penati kipindi cha kwanza,hadi mapumziko Prison walikuwa nyuma kwa bao 1

No comments:

Post a Comment