BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Sunday, October 16, 2011

LIVERPOOL YAWATOA ULIMI NJE MANCHESTER UNITED


Timu ya Liverpool ikicheza kwa maelewano jana iliweza kutoka sare na Manchester Utd kwa kufungana bao 1-1 kwenye uwanja Anfield,Liverpool walipata bao dakika ya 67 kupitia kwa Steven Gerrald na Manchester walisawazisha dak.80 kupitia kwa Chicharito.
Liverpool walitawala mchezo huo kwa kiasi kikubwa na kuwafanya walinzi wa Man kuwa na wakati mgumu.

No comments:

Post a Comment