BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Monday, July 30, 2012

BALOZI WA VENEZUELA AUAWA KENYA


Balozi wa Venezuela nchini Kenya Bi.Olga Fonseca,ameuawa nyumbani kwake jijini Nairobi na watu wasiojulikana,jeshi la polisi linawashikilia watu sita kuhusiana na kifo hicho,Bi.Olga alianza kazi katikati ya mwezi huu nchini humo.

No comments:

Post a Comment