BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Sunday, July 08, 2012

WEWA SEPETU NA JAQUILINE WOLPER HAKUNA MBABE.


Lile pambano la ndondi la wasanii wa filamu nchini,lililokuwa likisubiriwa kwa hamu na mashabiki,limemalizika matokeo yakiwa sare.
Mpambano uliojulikana kama usiku wa matumaini ulionekana kama mchezo wa kuigiza kutokana na wahusika kutokuwa na fani ya mchezo huo wa ndondi,japo Wolper akionekana kumzidi ujanja mpinzani wake.

No comments:

Post a Comment