BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Friday, November 11, 2011

VURUGU ZATAWALA MBEYA LEO


Askari wa jeshi la polisi wakijaribu kutuliza ghasia maeneo ya tukio jijini Mbeya

Gari likiwa limebinuliwa na waandamanaji na kufunga barabara kuu ya Dar-Tunduma eneo la Kabwe


Matairi chakavu yakiwa yamechomwa katikati ya barabara  na kuleta taabu kwa wasafiri na moshi mzito kusambaa eneo la Kabwe (Picha kwa hisani ya  Mwaisango)


No comments:

Post a Comment