JOSE CHAMELEONE AKIMBILIA UBALOZINI
 Mwanamuziki maarufu Afrika mashariki Jose Chameleone na wapambe wake wakiwa nje ya ubalozi wa Tanzania nchini Uganda wakiwa na mabango yanayoshinikiza kurejeshewa passport yake inayoshikiliwa na mtunzi maarufu wa vitabu bw.Shigongo kutokana na deni la US$ 3500. 
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment