KWA HABARI ZA KIMATAIFA,KITAIFA,MICHEZO NA BURUDANI TEMBELEA MTANDAO HUU KILA SIKU
BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM
Sunday, July 29, 2012
JOSE CHAMELEONE AKIMBILIA UBALOZINI
Mwanamuziki maarufu Afrika mashariki Jose Chameleone na wapambe wake wakiwa nje ya ubalozi wa Tanzania nchini Uganda wakiwa na mabango yanayoshinikiza kurejeshewa passport yake inayoshikiliwa na mtunzi maarufu wa vitabu bw.Shigongo kutokana na deni la US$ 3500.
No comments:
Post a Comment