BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Tuesday, August 14, 2012

MABAKI YA HELKOPTA ZA UGANDA YAPATIKANA MLIMA KENYA


Mabaki ya helkopta mbili za Uganda yamepatikana mlima Kenya,helkopta hizo ziliondoka nchini Uganda jumapili zikiwa zinaelekea nchini Somalia kuongeza nguvu kwenye jeshi la kulinda amani la Afrika.
Mpaka sasa chanzo cha ajali hiyo hakijajulikana.

No comments:

Post a Comment