BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Sunday, August 26, 2012

SENSA YAENDELEA NCHINI KWA UTULIVU MKUBWA


Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na familia yake wakishiriki zoezi la kuhesabiwa na kujibu maswali ya makarani wa sensa kwa utulivu mkubwa.
Wewe mwananchi ambaye bado hujafikiwa na makarani wa Sensa fuatilia kwa Mwenyekiti wako wa mtaa ili uhakikishe unahesabiwa kwa ajili ya maendeleo ya taifa letu,kuhesabiwa kwako ndio kunalifanya taifa lielewe idadi ya watu na kupanga maendeleo na huduma za kijamii kwa eneo husika-JITOKEZE KUHESABIWA KWA MAENDELEO YETU YA BAADAYE.

No comments:

Post a Comment