BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Friday, August 24, 2012

YANGA NDANI YA IKULU YA RUANDA


Rais Paul Kagame akiongea na wachezaji na viongozi wa timu ya Yanga ambao ni mabingwa wa Afrika mashariki na kati walipomtembelea Ikulu ya Ruanda,jijini Kigali jana.
Pia timu hiy6 imetembelea makaburi ya watu waliouawa mwaka 1994 kwenye mauaji ya Kimbari nchini humo,mbali na hayo timu hiyo imekuwa kivutio kikubwa kwa wapenzi wa soka wa nchini humo.

No comments:

Post a Comment