KWA HABARI ZA KIMATAIFA,KITAIFA,MICHEZO NA BURUDANI TEMBELEA MTANDAO HUU KILA SIKU
BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM
Wednesday, August 15, 2012
TAIFA STARS NGUVU SAWA NA BOTSWANA 3-3.
Timu ya Taifa stars leo imetoka sare na timu ya taifa ya Botswana baada ya kufungana bao 3-3 kwenye mchezo wa kirafiki uliochezwa jijini Gaborone. Magoli ya Taifa Stars yamefungwa na Erasto Nyoni,Mwinyi Kazimoto na Mrisho Ngassa.
No comments:
Post a Comment