BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Friday, June 17, 2011

BAMBO APATA AJALI YA PIKIPIKI

Msanii maarufu katika ya fani ya uigizaji nchini bw.Dickson Samson Makwaya a.k.a BAMBO amepata ajali ya pikipiki eneo njia panda kigogo jijini Dar es salaam,na kuvunjika mguu wa kulia amelazwa hospitali ya taifa Muhimbili

No comments:

Post a Comment