BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, June 02, 2011

MAFUNZO YA KUZIMA MOTO


Bi Helen Kataraiya akifanya moja ya majaribio ya kuzima moto huku akisimamiwa na mmoja wa wakufunzi wa semina hiyo iliyofanyika kwenye ukumbi wa BTS Mbeya,moto ni rafiki haumchokozi mtu mpaka ukosewe.

No comments:

Post a Comment