BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, April 30, 2015

FLOYD MAYWEATHER v/s MANNY PACQUIAO


 Wanamasumbwi wenye majina makubwa kwa sasa duniani,Manny Pacquiao na Floyd Mayweather wanategemea kupanda ulingoni tarehe 02/05/2015 usiku wa jumamosi huko marekani kwa saa za Afrika mashariki tayari itakuwa alfajiri ya tarehe 03/05/2015 siku ya jumapili.
 Mpambano huo wa kusisimua utakata mzizi wa fitna kwa kujua ni nani zaidi katika masumbwi kutokana na kutambiana kwa muda mrefu na kuonekana kama walikuwa wakikwepana.
  Pambano hilo litafanyika ukumbi wa MGM Grand Cassino huko Las Vegas,Marekani na kuhudhuriwa na watu wengi zaidi na watu maarufu kutokana na tiketi ambazo zimeshauzwa kwa ajili ya pambano hili.
  Manny Pacquiao akiongea kwa kujiamini amesema "Every thing i have accomplished,God has given me this strength.I used to sleep in the street,hungry,and i cannot imagine that the Lord raised me to this level of life"  

No comments:

Post a Comment