BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, February 01, 2012

MTI HUU UNAWEZA UKASABABISHA AJALI.


Mti huu matawi yake yameingia barabarani na kusababisha mtu unayetembea kwa miguu usiweze kuliona gari linalokuja mbele au nyuma kutokana na matawi yaliyozidi na kuingia mpaka barabarani kwenye barabara ya Uhindini kuelekea Soko matola jijini Mbeya,wahusika inabidi walishughulikie suala hili mapema kabla madhara hayajatokea.

No comments:

Post a Comment