BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Sunday, February 12, 2012

WHITNEY HOUSTON AFARIKI


Mwanamuziki maarufu nchini Marekani amefariki usiku wa jana,mwanadada huyo ambaye alikuwa akihusishwa na utumiaji wa madawa ya kulevya lakini aligeuka na kuanza kupinga utumiaji wa madawa hayo kwa watu wengine.
Mwanadada amekuwa na sifa za uvumilivu kwenye mahusiano yake ya kimapenzi licha ya kupitia mikasa mbalimbali lakini aliweza kuvumilia pamoja na umilionea aliyokuwa nao.

No comments:

Post a Comment