KWA HABARI ZA KIMATAIFA,KITAIFA,MICHEZO NA BURUDANI TEMBELEA MTANDAO HUU KILA SIKU
BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM
Wednesday, February 01, 2012
MVUA NI NEEMA TATIZO SISI
Kutokana ni miundo mbinu mibovu mvua imekuwa kama kero kwa wakazi wa Soweto jijini Mbeya,wamekuwa wakipata taabu kwenye maeneo ya barabara zinazoingia na kutoka mitaa hiyo kutokana na maji kujaa na kuhathiri mpaka maeneo ya biashara.kama inavyoonekana kwenye picha.
No comments:
Post a Comment