BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, February 01, 2012

MVUA NI NEEMA TATIZO SISI


Kutokana ni miundo mbinu mibovu mvua imekuwa kama kero kwa wakazi wa Soweto jijini Mbeya,wamekuwa wakipata taabu kwenye maeneo ya barabara zinazoingia na kutoka mitaa hiyo kutokana na maji kujaa na kuhathiri mpaka maeneo ya biashara.kama inavyoonekana kwenye picha.

No comments:

Post a Comment