BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, February 08, 2012

UCHAFUZI WA MAZINGIRA


Gari ya kubeba taka likiwa limebeba takataka ambazo zinaendelea kuungua na hivyo kusababisha moshi kusambaa barabarani na kuleta athari kwa watu,mbali na hilo pia inaweza kutokea ajali ya moto iwapo taka hizo zikiendelea kupulizwa na upepo.

No comments:

Post a Comment