KWA HABARI ZA KIMATAIFA,KITAIFA,MICHEZO NA BURUDANI TEMBELEA MTANDAO HUU KILA SIKU
BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM
Wednesday, February 08, 2012
UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Gari ya kubeba taka likiwa limebeba takataka ambazo zinaendelea kuungua na hivyo kusababisha moshi kusambaa barabarani na kuleta athari kwa watu,mbali na hilo pia inaweza kutokea ajali ya moto iwapo taka hizo zikiendelea kupulizwa na upepo.
No comments:
Post a Comment