BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, February 09, 2012

TIMU YA TAIFA YA ZAMBIA YAINGIA FAINALI MICHUANO YA AFRIKA.


Timu ya taifa ya Zambia (Chipolopolo) imefanikiwa kuingia fainali ya michuano ya mataifa ya Afrika, baada ya kuwafunga Ghana(Black Star) kwa bao 1-0,
Zambia walipata bao lao kupitia kwa kupitia kwa Emanuel Mayuka dakika ya 78 na kuwafanya Zambia kuingia fainali,katika mchezo mwingine wa nusu fainali Ivory Coast wameifunga Mali bao 1-0.
Sasa Zambia watakutana na Ivory Coast katika mchezo wa fainali utakaochezwa kesho kutwa na Ghana watawakabili Mali katika kuwania nafasi ya tatu.

No comments:

Post a Comment