BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, March 15, 2012

LIGI YA MKOA WA RUKWA JAMAICA YAIFUNGA RUKWA UNITED 2-1


Timu ya Jamaica FC imeifunga timu ya Rukwa united bao 2-1,kwenye ligi ya mkoa huo,magoli ya Jamaica yamefungwa na Steve Mwansite dakika ya 4 na la pili likifungwa na Torres,bao la kufutia machozi la Rukwa united limefungwa kwa njia ya Penati.

No comments:

Post a Comment