BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Monday, March 26, 2012

MASHABIKI NDIO WANAUWA SOKA LA TANZANIA.


Katika hali isiyo ya kawaida,mashabiki wa soka hapa nchini wakifanya vitu vya tofauti sana ukilinganisha na nchi nyingine.
Haya ni moja ya matatizo ya mashabiki:-
1.Kuzomea timu ya taifa inapocheza.
2.Kuzomea baadhi ya wachezaji Taifa Stars,mfano Mwaikimba na Boko.
3.Kushangilia wageni kwenye michuano mbalimbali sababu ya Usimba na Uyanga.
4.Kutolipa viingilio vilivyopangwa.
5.Hawahudhurii kwenye mechi kama vile Villa Squad v/s Polisi Dom.
6.Kuwarushia chupa na makopo wachezaji na makocha.
7.Kutumia lugha chafu badala ya kushangilia.
8.Wanahitaji ushindi tu sio kushindwa.
9.Wanataka mafanikio ya haraka bila kujiandaa
Hizi ndizo sababu zinazoua soka la Tanzania na kuwapa wakati mgumu makocha na wachezaji wa kigeni.

No comments:

Post a Comment