BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Saturday, March 17, 2012

UJENZI WA BARABARA KWA KIWANGO CHA LAMI WAENDELEA KWA KASI SUMBAWANGA-TUNDUMA


Ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami unaendelea kwa kasi eneo la Kaengesa.
Mdau wetu alipita maeneo na kukuta kazi hiyo ikiendelea licha ya mvua nayo kuendelea kunyesha.

No comments:

Post a Comment