BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Monday, March 26, 2012

SIMBA YAWACHAPA ES SATIF YA ALGERIA 2-0


Timu ya Simba leo imefanikiwa kuwafunga El Satif 2-0, kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam,mchezo huo ulikuwa ni wa kombe la shirikisho.
Simba walipata mabao hayo kipindi cha pili yakiwekwa wavuni na Moshi Kazimoto na Haruna Moshi,Simba walikianza kipindi cha pili kwa kasi na kutawala eneo la kiungo na wapinzani wao wakiwa na wakati mgumu wote wa dakika 30 za mwanzo cha kipindi cha pili.
Es Satif wakiongozwa na Yousef Satif walishindwa kuhimili muziki wa Simba kutokana na mikakati ya wachezaji wa Simba.

No comments:

Post a Comment