BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, March 14, 2013

PAPA MPYA ATOKA ARGENTINA


 Hatimaye lile zoezi la kumchagua Papa limekamilika katika kanisa la St.Peters Basilica huko Vatican na Muargentina Jorge Mario Bergogli kuchaguliwa kuwa Papa mpya ambaye atajulikana kwa jina la PAPA FRANCIS WA KWANZA.

No comments:

Post a Comment