BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, March 06, 2013

RAIS HUGO CHAVEZ WA VENEZUELA AFARIKI DUNIA

Rais Hugo Chavez wa Venezuela amefariki jana,Rais Chavez alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya kansa  ambayo yamesababisha kifo chake.
  Rais huyo atakumbukwa kutokana msimamo wake wa kutoyumbishwa na  baadhi ya mataifa yenye nguvu duniani

No comments:

Post a Comment