BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Monday, March 25, 2013

TAIFA STARS YAICHINJA MOROCCO 3-1


Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars jana imefanikiwa kuifunga kigogo cha soka Afrika Morocco bao 3-1 kwenye mchezo uliofanyika jijini Dar es salaam jana.
Taifa Stars walipata mabao yao kipindi cha pili yakifungwa na Thomas Ulimwengu na Mbwana Samata wanaochezea TP Mazembe ya DRC,sasa Stars inashika nafasi ya pili kwenye kundi lake ikiwa na pointi 6 nyuma ya Ivory Coast wenye pointi 7,Morocco ya tatu ikiwa na pointi 2,huku Gambia ikiburuza mkia.

No comments:

Post a Comment