YANGA YAWAADHIBU TOTO YAO
 Mabingwa wa Afrika mashariki na kati Yanga ya Dar es salaam imezidi kuisukumia kwenye shimo la kushuka daraja baada ya kuifunga bao 1-0 kwenye mchezo uliochezwa uwanja wa Taifa.
 Yanga walipata goli lao kupitia kwa Nizar Khalfan dakika 78,aliyeingia kuchukua nafasi ya Tegete. 
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment