KWA HABARI ZA KIMATAIFA,KITAIFA,MICHEZO NA BURUDANI TEMBELEA MTANDAO HUU KILA SIKU
BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM
Sunday, March 10, 2013
YANGA YAWAADHIBU TOTO YAO
Mabingwa wa Afrika mashariki na kati Yanga ya Dar es salaam imezidi kuisukumia kwenye shimo la kushuka daraja baada ya kuifunga bao 1-0 kwenye mchezo uliochezwa uwanja wa Taifa. Yanga walipata goli lao kupitia kwa Nizar Khalfan dakika 78,aliyeingia kuchukua nafasi ya Tegete.
No comments:
Post a Comment