BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Monday, April 02, 2012

JOSHUA NASSARI MBUNGE MPYA ARUMERU KUPITIA CHADEMA.


Joshua Nassari ameibuka mshindi katika uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Arumeru baada kumbwaga mpinzani wake wa karibu Sioi Sumari kwa zaidi ya kura 5000.
Uchaguzi ulifanyika kufuatia kifo cha aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo mh.Jeremiah Sumari wa CCM,uchaguzi huo umefanyika jana licha ya kukumbwa na matukio madogodogo ya wanachama kulinda kura na vituo vya kuhesabia kura hizo.
Baadhi ya watu wako mitaani wakishangilia ushindi huo.

No comments:

Post a Comment