BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, May 04, 2011

BARCELONA YATINGA FAINALI

Timu ya Barcelona jana ilifanikiwa kuingia fainali ya klabu bingwa ulaya baada ya kutoka sare na Real madrid 1-1,ilikuwa ni Barcelona iliyokuwa ya kwanza kujipatia lililofungwa Pedro dakika ya 56 madrid walisawazisha dakika ya 66 kupitia Marcus kwa matokeo hayo Barca wanaingia fainali na moja kati ya itakayoshinda leo kati Man utd v/s Schalke 04

No comments:

Post a Comment