BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, May 19, 2011

SIMBA KUVAANA NA WYDAD CANSABLANCA CAIRO

Timu ya Simba imfanikiwa kurudi kwenye michuano ya klabu bingwa Africa baada ya rufaa yao kukubaliwa na shirikisho la soka Africa(CAF) na kuitupia mbali timu ya TP Mazembe ambao ndio mabingwa wa kombe hilo baada ya kumchezesha mlinzi halali wa timu ya Esperence ya Tunisia,sasa simba watacheza na wydad cansablanca ya Morocco kwenye uwanja huru huko jijini Cairo

No comments:

Post a Comment