KWA HABARI ZA KIMATAIFA,KITAIFA,MICHEZO NA BURUDANI TEMBELEA MTANDAO HUU KILA SIKU
BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM
Wednesday, May 25, 2011
OBAMA ASEMA LAZIMA GADAFFI AONDOKE
Rais Barack Obama amesema lazima rais Muamar Gadaffi aondoke madarakani,ameyasema katika yake nchini Uingereza,nchi imekuwa na machafuko ya kisiasa kwa mitatu na zaidi,huku nchi za ulaya zikionekana kuwaunga mkono waasi wa serikali ya Libya.
No comments:
Post a Comment