BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Saturday, May 28, 2011

MBEYA BINGWA KOMBE LA TAIFA


Timu ya mkoa wa Mbeya leo imefanikiwa kutwaa ubingwa wa kombe la taifa baada ya kuifunga timu ya mkoa wa Mwanza kwa bao 1-0,bao pekee la Mbeya limefungwa dakika ya 87 na mshambuliaji tishio nchini Gaudence Mwaikimba.

No comments:

Post a Comment