BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Sunday, May 08, 2011

MANCHESTER UTD YAICHAPA CHELSEA 2-0


Manchester utd imezidi kujiwekea mazingira mazuri ya kutwaa ubingwa wa England baada ya kuwachapa Chelsea kwa bao 2-0,na hivyo kuwa mbele kwa pointi 6 na zikiwa zimebakiwa na mechi 2 nao Arsenal wamepokea kichapo cha bao 3-1 kutoka kwa Stoke City.

No comments:

Post a Comment