BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Sunday, May 08, 2011

KOMBE LA TAIFA


Timu ya mkoa wa Rukwa imeweza kufanya maajabu kwa kuifunga timu ya mkoa wa Temeke kwa jumla ya bao 2-1,Rukwa walikuwa wa kwanza kupata goli kwa njia ya adhabu dakika 12 baadaye nao Temeke walisawazisha nao kwa njia ya adhabu,kipindi cha pili Rukwa walifanikiwa kupata bao la pili.Katika mchezo wa kwanza Mbeya walifanikiwa kuwafunga Iringa 2-1.

No comments:

Post a Comment