MBEYA (MAPINDUZI STARS) WAPOKELEWA KWA VIFIJO NA NDEREMO.
Golikipa wa mkoa wa Mbeya Ivo Mapunda akimkabidhi kombe la ubingwa wa taifa mkuu wa mkoa wa Mbeya mh.John Mwakipesile leo katika hafla fupi ya kuwapokea mashujaa hao wa mkoa wa Mbeya mara baada ya kurejea kutoka Arusha-picha kwa hisani ya mbeya yetu blogspot.com 
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment