KWA HABARI ZA KIMATAIFA,KITAIFA,MICHEZO NA BURUDANI TEMBELEA MTANDAO HUU KILA SIKU
BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM
Monday, May 30, 2011
MBEYA (MAPINDUZI STARS) WAPOKELEWA KWA VIFIJO NA NDEREMO.
Golikipa wa mkoa wa Mbeya Ivo Mapunda akimkabidhi kombe la ubingwa wa taifa mkuu wa mkoa wa Mbeya mh.John Mwakipesile leo katika hafla fupi ya kuwapokea mashujaa hao wa mkoa wa Mbeya mara baada ya kurejea kutoka Arusha-picha kwa hisani ya mbeya yetu blogspot.com
No comments:
Post a Comment