BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, May 05, 2011

MANCHESTER UTD USO KWA USO NA BARCELONA MEI 28

Wachezaji wa manchester united wakishangilia moja ya mabao waliopata jana kwenye mchezo wa klabu bingwa ulaya kati yake na SCHALKE 04,ambapo manchester walifanikiwa kupata ushindi wa mabao 4-1 na kusonga kwa jumla mabao 6-1,sasa watakutana na Barcelona katika mchezo wa fainali tarehe 28 mei,kwenye uwanja wa Wembley  England.

No comments:

Post a Comment