BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Monday, September 12, 2011

AFRIKA KUSINI YALETA WAOKOAJI ZANZIBAR

Baadhi ya wananchi wakipita kutambua miili ya watu waliopoteza maisha kufuatia ajali ya meli huko Nungwi Zanzibar.
 <><>
<>
<><>Baadhi ya watalii wakishiriki kuwahudumia watoto waliokolewa kwenye meli eneo la Nungwi Zanzibar
Mtoto Said Gerald akiwa hospitali ya Mnazi mmoja Zanzibar mara baada ya kuokolewa kwenye ajali ya meli


No comments:

Post a Comment