KWA HABARI ZA KIMATAIFA,KITAIFA,MICHEZO NA BURUDANI TEMBELEA MTANDAO HUU KILA SIKU
BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM
Wednesday, September 07, 2011
JIENDELEZE SACCOS YAWASAIDIA WAKULIMA WA MAHINDI IWINDI MBEYA.
Wakulima wa mahindi kata ya Iwindi Mbeya vijijini wamenufaika na viongozi wao baada ya kuanzisha uwekaji akiba kwa kutumia mazao na ambayo baadaye huuzwa na mkulima kuingiziwa amana kwenye SACCOS na kuwawezesha kupata mikopo midogo dogo.
No comments:
Post a Comment