BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, September 07, 2011

JIENDELEZE SACCOS YAWASAIDIA WAKULIMA WA MAHINDI IWINDI MBEYA.


Wakulima wa mahindi kata ya Iwindi Mbeya vijijini wamenufaika na viongozi wao baada ya kuanzisha uwekaji akiba kwa kutumia mazao na ambayo baadaye huuzwa na mkulima kuingiziwa amana kwenye SACCOS na kuwawezesha kupata mikopo midogo dogo.

No comments:

Post a Comment