BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, September 08, 2011

VODACOM YAKUBALI YAISHE KWA YANGA

Mabingwa wa Tanzania Bara jana walivaa jezi zenye nembo ya wadhamini wa ligi hiyo ya Vodacom premier league kwa mara ya kwanza,Yanga walikuwa wakigoma kuvaa jezi zenye nembo ya Vodacom kutokana na kuwa na rangi nyekundu na nyeupe ambayo inatumiwa na mahasimu wao na hivyo kuwapa wakati mgumu wadhamini hao na kulazimika kuweka nembo nyeusi au ya kijani kwenye jezi za wanajangwani hao

No comments:

Post a Comment