BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Saturday, September 17, 2011

Mh.MBOWE AFUNGUA OFISI YA CHADEMA KATA YA NZOVWE MBEYA.


Mwenyekiti wa taifa wa chama cha demokrasia na maendeleo mh.Freeman Mbowe leo jioni amefungua ofisi chama hicho katika kata ya Nzovwe jijini Mbeya na ufunguzi huo kuhudhuriwa na watu wengi.
Pia alitumia fursa hiyo kutoa pole kwa wakazi wa jiji la Mbeya baada ya moto kuteketeza soko la Mwanjelwa jana asubuhi.

No comments:

Post a Comment