BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Friday, September 16, 2011

BREAKING NEWS!! SOKO LA MWANJELWA MBEYA LINAENDELEA KUUNGUA MUDA HUU

Moto unaendelea kuteketeza mabanda yaliyoko ndani ya soko la Mwanjelwa Mbeya,mpaka sasa jitihada za kuuzima moto zinaonekana kuzidiwa nguvu na moto huo.

Moto ukiendelea kuteketeza soko hilo

Baadhi ya wananchi wakishuhudia ajali hiyo ya moto

Baadhi  ya wafanyabiashara wakijaribu kuokoa bidhaa zao


No comments:

Post a Comment