BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Tuesday, September 27, 2011

BASI LAANGUKIA KORONGONI, ABIRIA WANUSURIKA

Basi la kampuni ya Budget leo limeangukia korongoni maeneo ya mlima Kitonga,kwa bahati nzuri hakuna abiria aliyepoteza maisha katika ajali hiyo,isipokuwa kuna majeruhi kadhaa.

No comments:

Post a Comment