BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Monday, September 12, 2011

BOMBA LA MAFUTA LALIPUKA NA KUPASUKA NAIROBI NA KUSABABISHA WATU ZAIDI YA 100 KUFARIKI

Bomba la mafuta limelipuka na kupasuka jijini Nairobi Kenya na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 100,bomba hilo linalomilikiwa na serikali ya Kenya limekatiza katikati ya jiji na mlipuko huo umeanzia eneo la Lungalunga jijini Nairobi,askari wa zimamoto wanaendelea na jitihada za kuuzima moto huo.
Mmoja wa majeruhi wa moto akipakiwa kwenye gari ya wagonjwa na kupelekwa hospitali

No comments:

Post a Comment